Watumishi wengi wa mungu huondolewa imani yao juu ya kristo kwa sababu ya maneno ya mataifa au maneno ya watishi wenza waumini, au wapinga kristo
Mtumishi yeyote wa mungu lazima uwe na moyo uliothibitika na agano lililothibitika juu ya yesu kristo pasi na shaka yoyote na huku ukimfanya mungu mamlaka ya mwisho kwa kila jambo ndani ya maisha yako
Mungu haisaidiwi wala hapimwi maana yeye ni msaada tosha juu ya maisha yako na kipimo stahiki juu ya matendo yako
Watumishi wengi huanguka kiimani kwasababu ya kiburi na na kukosa imani yenye ujasiri ndani yake iliyojaa uweza wa roho wa mtakatiifu
Imani pasipo ujasiri na matendo mema si kitu mbele za muovu ili uweze kumshinda muovu lazima uthibitike na uthibitishwe na uwe jadiri bila kurudi nyuma
WAFILIPI 1:20;21
20 KAMA VILE NILIVYOTAZAMIWA SANA NA KUTUMAINI KWAMBA SITAAIBIKA KAMWE BALI KWA UTHABITI WOTE KAMA SIKU ZOTE NA SASA VIVYO HIVYO KRISTO ATAADHIMISHWA KATIKA MWILI WANGU IKIWA KWA MAISHA,YANGU AU IKIWA KWA MAUTI YANGU
21 KWA MAANA KWANGU MIMI KUISHI NI KRISTO NA KUFA NI FAIDA
2TIMOTHEO 3:10-15
10 BALI WEWE UMEYAFUATA MAFUNDISHO YANGU NA MWENENDO WANGU NA MAKUSUDI YANGU MA IMANI YANGU NA UVUMILIVU WANGU
11 NA UPENDO NA SABURI TENA NA ADHA ZANGU NA MATESO YANGU MAMBO YALIYONIPATA KATIKA ANTOKIO KATIKA IKONIO NA KATIKA LISTRA KILA NAMNA YA ADHA NILIYOISTAIMILI NAYE BWANA ALINIOKOA YOTE KATIKA HAYO YOTE
13 LAKINI WATU WABAYA NA WADANGANYAJI WATAENDELEA NA KUZIDI KUWA,WAOVU WAKIDANGANYA NA KUDANGANYIKA
14 BALI WEWE UKAE KATIKA MAMBO YALE ULIOFUNDISHWA NA KUHAKIKISHWA KWA MAANA UNAJUA NI AKINA NANI UNAOJIFUNZA KWAO
15 NA YA KUWA TANGU UTOTO UMEYAJUA MAANDIKO MAANDIKO MATATIIFU AMBAYO YANAWEZA KUKUHEKEMISHA HATA UPATE WOKOVU KWA IMANI ULIYO KATIKA YESU KRISTI
YAKOBO 1:2-4
NDUGU ZANGU HESSABUNI YA KUWA NI ,FURAHA TUPU MKIANGUKIA KATIKA MAJARIBU MBALIMBALI
3 MKIFAHAMU YA KUWA KUJALIBIWA KWENU KWA INANI YENU HULETA SABURI
4 SABURI NA IWE KAZI KAMILIFU MPATE KUWA WAKAMILIFU NA WATIMILIFU BILA,KUPUNGUKIWA NA NENO
5 LAKINI MTU AKIPUNGUKIWA NA HEKIMA NA AOMBE DUWA KWA MUNGU AWAPAYE WOZE KWA UKARIMU WALA KAMEI .NAYE ATAPEWA
6 ILA AOMBE KWA IMANI PASIPO NA SHAKA YOYOTE MAANA MWENYE,SHAKA NI KAMA WIMBI LA BAHARI LILILICHUKULIWA JA UPEPO NA KUPEPERUSHWA HUKU NA HUKU
1PETRO 4:12-13
WAPENZI MSIOONE KUWA NU AJABU ULE MSIBA ULIO KATI YENU UNAOWAPATA KAMA MOTO ILI KUWAJARIBU KANA KWAMBA NI KITU KIGENI KIWAPATACHO
13 LAKINI KAMA MNAVYOSHILIKI MATESO YA KRISTO FURAINI ILI NA KATIKA UFUNUO WA UTUJUFU WAKE MFURAHI KWA,SHANGWE
UVUMILIVU NA MAOMBI BILA,KUKOMA NDIO NGUZO YETU YA KUTUFANYA,TUBAKI IMARA KATIKA IMANI YETU JUU YA BWANA WETU YESU KRISTO
YEYE NI BABA
IMEANDALIWA NA MUHUBIRI EMANUEL ANDULILE MWAKYEJA
0653543333
0786250359
YU MWEMA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni